slider

Recent

Designed by mwarabusope. Powered by Blogger.

About Me

Total Pageviews

Search This Blog

Popular Posts

Navigation

JINSI YA KU DOUBLE INTERNET SPEED YA COMPUTER YAKO BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOTE

Katika somola leo kama kichwa cha habari kinavyosema Tunajifunza jinsi ya kudouble internet speed ya computer yako kwa kutumia CMD. yana kama speed ya internet yako ni 50% itaongezeka na kuwa 100%. kama ni 100% itaongezeka na kuwa 200%. hii trick iko approved. FATA STEPS HIZI RAHISI


1. Nenda kwenye sehem ya ku search kwenye computer yako na andika cmd
2. chagua Run as administrator
3. Andika color a then ENTER
4. Andika cd/ then ENTER
5. Andika netsh int tcp show global then ENTER
6. Andika netsh int tcp set global chimney=enabled then ENTER
7. Andika netsh int tcp set global autotuninglevel=normal then ENTER
8. Andika netsh int tcp set global congestion provider=ctcp then ENTER
9. Andika netsh int tcp show global then ENTER
10. Restart computer yako
     Ahsanteni .......
Share
Banner

Mwarabusopeblog

Post A Comment:

0 comments: